DIAMOND APOKELEWA KWA MSAFARA SONGEA
8:47 AM |
Akizungumza na Teentz.com VIA 4N mara baada ya kuwasili wilayani humo, Diamond alifunguka kuwa amepata mapokezi ya ajabu ambayo hajawahi kuyaona toka alivyoanza kuwajibika ndani ya gemu ya muziki wa kizazi kipya. "Nimepokelewa kwa msafara wa magari na pikipiki nyingi kama ambavyo hupokelewa viongozi wakuu wa nchi hapa nilipo kuna watu wengi kupita maelezo ambao wamejitokeza kunipokea , hakika sijawahi kuona jambo hilo kabla, namshukuru Mungu kwa kila kinachotokea hii inanipa moyo wa kufanya kazi zaidi ili kuwafurahisha mashabiki wangu" alisema Diamond
Subscribe to:
Post Comments (Atom)






0 comments:
Post a Comment