THE BEST BLOG IN TOWN

Powered by Blogger.

Text

RSS

WATANZANIA WATAKIWA KUUDHAMINI UTAMADUNI WAO

Msanii wa Ras Innocent Nganyagwa akiwasilisha mada kwenye Jukwaa la Sanaa wiki hii. Kushoto kwake ni Afisa Habari Mkuu BASATA Bi Agnes Kimwaga.

ENDELEA ZAIDI

Mkurugenzi wa Idara ya Utafiti, Mafunzo na Habari kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Godfrey Lebejo akisisitiza jambo wakati akihitimisha programu ya Jukwaa la Sanaa wiki hii.

Na Mwandishi Wetu Watanzania wametakiwa kuuenzi utamaduni wa makabila ambao una thamani kubwa sana, wito huu umetolewa wiki hii kwenye ukumbi wa BASATA na

  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

0 comments:

Post a Comment