THE BEST BLOG IN TOWN

Powered by Blogger.

Text

RSS

DIAMOND&JOKATE PENZI LA RUDI UPYAAA!SIKU kadhaa baada ya wapenzi mastaa, Miss Jokate Mwegelo na mwanamuziki Naseeb Abdul ‘Diamond’ kutibuana kisa kikiwa ni mwanamuziki huyo kunaswa hotelini na mwigizaji Aunt Ezekiel, wawili hao wamerudiana na kuanza mapenzi upya, Ijumaa Wikienda limeshiba data. MAZUNGUMZO HOTELINI

SIKU kadhaa baada ya wapenzi mastaa, Miss Jokate Mwegelo na mwanamuziki Naseeb Abdul ‘Diamond’ kutibuana kisa kikiwa ni mwanamuziki huyo kunaswa hotelini na mwigizaji Aunt Ezekiel, wawili hao wamerudiana na kuanza mapenzi upya, Ijumaa Wikienda limeshiba data. MAZUNGUMZO HOTELINI

  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

0 comments:

Post a Comment