THE BEST BLOG IN TOWN

Powered by Blogger.

Text

RSS

DOGO JANJA ATUIWA VIRAGO TIP TOP CONNECTION

Nyota wa muziki wa kizazi kipya  kutoka  ‘kruu’ ya  Tip Top Connection  yenye maskani yake pande za  Manzese  jijini  Dar  es  Salaam  Abdul Abubakar Chende  ‘Dogo  Janja’  ametupiwa  virago   ndani ya kundi hilo.
Akizumngumza na  Teentz .com mapema leo kiongozi wa kundi hilo Hamad Ally  ‘Madii’  amesema kuwa  Dogo Janja  ameshindwa  kuendana na  makubaliano halisi yaliyokuwepo baina yake na uongozi wa kundi hilo ikiwemo  kuhudhuria  shuleni kama alivyokuwa akitakiwa  kufanya kila siku  badala yake  amekuwa akiendekeza  starehe na  wakati mwingine kufanya mambo ambayo kwa namna moja ama nyingine yalikuwa yanalichafua kundi hilo.
“Tumemkabidhi kwa kaka yake mapema leo tukiwa  maeneo ya Ubungo tayari kwa safari ya  kurudi kwao  na wakati huo tulifanya mawasiliano na

  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

0 comments:

Post a Comment